Simba Sports Club
News

Timu yarejea Dar, wachezaji wapewa mapumziko

18 Jan 2022

Kesho kikosi kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wetu unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa Jumamosi Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro.

Matokeo ya jana dhidi ya Mbeya City yametufanya kuchukua tahadhari katika kila mchezo uliopo mbele yetu hivyo mashabiki wetu watarajie mabadiliko yatakayoambatana na ushindi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story