Timu itarejea mazoezini Disemba 27 kwa ajili ya kuanza maandalizi ya michuano ya Mapinduzi ambayo hufanyika kila mwaka Visiwani Zanzibar.
Mchezo wetu wa kwanza wa michuano ya Mapinduzi utakuwa Januari Mosi dhidi ya Jamhuri utakaopigwa Uwanja wa Amaan saa 2:15 usiku.