Kikosi chetu kinatarajia kufika jijini Cairo saa tano asubuhi ambapo wachezaji watapumzika kwa saa chache kabla ya kufanya mazoezi ya utimamu wa mwili.
Alhamisi timu itafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Cairo saa tano usiku muda ambao mchezo wetu utapigwa siku ya Ijumaa kama kanuni za CAF zinavyoelekeza.
Advertisement
Kikosi kimeondoka na jumla ya wachezaji 23.