Mchezo huo ambao tunaamini utakuwa mgumu utapigwa Alhamisi saa 10 jioni katika Uwanja wa Manungu Complex.
Tumeamua kuunganisha moja kwa moja hadi Morogoro kutokana na muda kuwa mfupi kutoka leo hadi Alhamisi.
Advertisement
Baada ya kufika Moro kikosi kitapumzika na kesho kitaanza mazoezi ya kujiandaa na mtanange huo.