Wachezaji 10 waliokuwa kwenye majukumu ya Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) nao wameungana na wenzao tayari kwa maandalizi ya mtanange huo.
Kikosi kitafanya mazoezi saa 10 jioni katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena kuendelea kujiandaa mtanange huo.
Advertisement
Dhamira yetu ni kuhakikisha tunashinda kila mchezo hasa wa nyumbani ili kukusanya alama nyingi kwakuwa tunahitaji kurejesha mataji yetu.