Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya utimamu kabla kuanza safari kuelekea Tanga

7 Mar 2024

Baada ya mchezo wa jana dhidi ya Prisons wachezaji wamefanya mazoezi ya utimamu wa mwili katika Uwanja wa Highland na mchana kitaelekea Tanga.

Kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho kesho jioni katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga tayari kwa mchezo wa Jumamosi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story