Wachezaji wote 24 ambao tumesafari nao wapo kwenye hali nzuri na wapo tayari kwa ajili ya kuanza michuano hiyo ambayo malengo yetu ni kutwaa ubingwa.
Pamoja na kuwa na timu kwa muda mfupi lakini kocha mkuu, Steve Barker ameendelea kuridhishwa na viwango vya wachezaji wanavyoonyesha mazoezini.
Advertisement
Tutaingia katika mchezo kwa kuwaheshimu Mwembe Makumbi lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda.