Ni wachezaji wawili tu Clatous Chama na Jonas Mkude ambao hawajafanya mazoezi hayo kutokana na kuwa majeruhi lakini wengine wapo fiti.
Morali ya wachezaji ipo juu na kila mmoja amejitahidi kujituma mazoezini ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi kesho.
Advertisement
Kwa sasa kila mchezo kwetu ni fainali tunahitaji alama tatu ili kuendelea kupunguza tofauti ya pointi iliyopo baina yetu na wanaoongoza.