Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Uhuru

17 May 2022

Ni wachezaji wawili tu Clatous Chama na Jonas Mkude ambao hawajafanya mazoezi hayo kutokana na kuwa majeruhi lakini wengine wapo fiti.

Morali ya wachezaji ipo juu na kila mmoja amejitahidi kujituma mazoezini ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi kesho.

Advertisement

Kwa sasa kila mchezo kwetu ni fainali tunahitaji alama tatu ili kuendelea kupunguza tofauti ya pointi iliyopo baina yetu na wanaoongoza.

Back to homepage
Share this story