Wachezaji wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo tayari kwa mchezo huo ambao utakuwa na upinzani mkubwa.
Mchezo dhidi ya Yanga utakapigwa katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga saa moja usiku.
Wachezaji wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo tayari kwa mchezo huo ambao utakuwa na upinzani mkubwa.
Mchezo dhidi ya Yanga utakapigwa katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga saa moja usiku.