Kikosi kimeeondoka jijini Dar es Salaam jana mchana baada ya mazoezi ya asubuhi na leo wamefanya mazoezi a mwisho.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na wapo kamili kwa ajili ya mchezo wa kesho.
Advertisement
Tunatarajia kupata upinzani mkubwa kutoka kwa Singida Big Stars lakini tupo tayari kupambana kuhakikisha tunashinda ili kutinga fainali.