Wachezaji wote 22 waliopo kikosini wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na hakuna yoyote ambaye atakosekana kutokana na kupata majeraha.
Wachezaji wameendelea kuzoea mazingira ya hali ya hewa ya hapa Eswatini hasa ukizingatia kuna baridi kali asubuhi na usiku.
Advertisement
Maandalizi yote ya mchezo yamekamilika tunasubiri muda ufike tushuke dimbani huku lengo letu likiwa ni kupata matokeo chanya ugenini.