Kikosi kitaondoka kesho alfajiri kuelekea Mali tayari kwa mchezo dhidi ya Stade Malien ambao utapigwa Jumapili saa moja usiku kwa saa za Tanzania.
Nyota wawili Moussa Camara na Abdulazak Hamza ndio pekee ambao hawajashiriki mazoezi hayo kutokana na kuendelea kuuguza majeraha lakini wengine wote wapo kamili.