Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Morocco

27 Apr 2023

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na wapo kwenye hali nzuri kamili kwa mchezo wa kesho ambao tunaamini utakuwa mgumu.

Aidha, muda wa mchezo wetu utakaopigwa Uwanja wa Mohamed wa V umebadilika kutoka saa moja hadi saa mbili ambapo nyumbani Tanzania itakuwa saa nne usiku.

Advertisement
Back to homepage
Share this story