Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

1 Oct 2022

Morali ya wachezaji ipo juu na wote wamefanya mazoezi tayari kwa mchezo huo ambao tumeupa kipaumbele kuhakikisha tunashinda na kubaki na alama zote tatu nyumbani.

Wachezaji watatu Shomari Kapombe na Peter Banda ambao ni majeruhi wao hawajafanya mazoezi kutokana na kuendelea kupata matibabu wakati Pape Sakho amepata msiba.

Advertisement

Lengo letu ni kuhakikisha tunapambana kushinda mchezo wa kesho ili kurejea tena kileleni mwa msimamo.

Back to homepage
Share this story