Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

17 Dec 2024

Mchezo huo ambao tunategemea utakuwa mgumu kutokana na ubora walionao wapinzani wetu Ken Gold utapigwa katika Uwanja wetu wa nyumbani wa KMC Complex.

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na hakuna aliyepata maumivu au majeraha ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Advertisement
Back to homepage
Share this story