Wachezaji wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wamejitahidi kuonyesha uwezo ili kulishawishi benchi la ufundi kuwapa nafasi.
Kocha Mkuu Roberto Oliviera 'Robertinho' na wasaidizi wake wamesimamia mazoezi hayo na wameridhishwa na viwango vya wachezaji.
Advertisement
Tunafahamu utakuwa mchezo mgumu na tunaiheshimu Yanga lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata ushindi.