Mchezo wetu wa kesho utapigwa saa 2:15 usiku katika Uwanja wa Azam Complex ambao ndio uwanja wetu wa nyumbani kwa sasa.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mchezo wa kesho.
Advertisement
Tunategemea kupata upinzani mkubwa kutoka kwa Singida lakini tupo kamili kuweza kuwakabili na lengo letu ni kushinda na kuchukua pointi tatu.