Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

8 Aug 2023

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na hakuna aliyepata maumivu ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa Alhamisi.

Baada ya mazoezi hayo kikosi kinajiandaa na safari ya Tanga kamili kwenda kushiriki michuano ya Ngao ya Jamii ambayo safari hii inashirikisha timu nne.

Advertisement
Back to homepage
Share this story