Simba Sports Club
News

Timu yafanya Mazoezi ya mwisho Mo Arena

30 Sep 2025

Mchezo huo ambao tunategemea utakuwa mgumu na wenye ushindani mkubwa utapigwa kesho saa mbili na robo usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na hakuna aliyepata maumivu ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Advertisement

Tutaingia kwenye mchezo huo kwa kuiheshimu Namungo kutokana na ubora walionao lakini tupo tayari kupambana hadi mwisho kwa ajili ya kutafuta alama tatu.

Back to homepage
Share this story