Mazoezi hayo yamefanyika leo jioni katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena.
Tunajua mchezo utakuwa mgumu na tunaiheshimu Tanzania Prisons tunategemea kupata ushindani mkubwa lakini tumejiandaa vizuri kupata ushindi.
Mazoezi hayo yamefanyika leo jioni katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena.
Tunajua mchezo utakuwa mgumu na tunaiheshimu Tanzania Prisons tunategemea kupata ushindani mkubwa lakini tumejiandaa vizuri kupata ushindi.