Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

29 Dec 2022

Mazoezi hayo yamefanyika leo jioni katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena.

Tunajua mchezo utakuwa mgumu na tunaiheshimu Tanzania Prisons tunategemea kupata ushindani mkubwa lakini tumejiandaa vizuri kupata ushindi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story