Kikosi kinaondoka nchini saa 9 Alasiri kuelekea Morocco tayari kwa mchezo huo ambao utakuwa wa mwisho wa hatua ya makundi.
Kikosi kitaondoka na wachezaji 13 pamoja na benchi la ufundi huku wale ambao wapo kwenye majukumu ya timu za taifa wataungana moja kwa moja na timu ikiwa Morocco.
Advertisement
Mchezo wetu utapigwa Machi 31 saa nne usiku kwa muda wa Morocco ambapo huku kwetu itakuwa Aprili Mosi saa saba usiku.