Wachezaji wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu chini ya Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha huku wakikosekana Clatous Chama na Nassor Kapama waliosimamishwa.
Tunafahamu utakuwa mchezo mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda ili kuendelea kukusanya pointi tatu.
Advertisement
Mara zote KMC wamekuwa wakitupa ushindani mkubwa kutokana na ubora walionao lakini hata hivyo tupo tayari kuwakabili.