Morali ya wachezaji ipo juu na wapo tayari kuhakikisha wanapambana kwa dakika zote 90 ili ushindi upatikane.
Wachezaji wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na hakuna aliyepata maumivu yoyote ambayo yanaweza kumfanya kukosa mchezo.
Advertisement
Mchezo huo ambao utakuwa wa pili wa Ligi Kuu kwetu utapigwa katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam saa 10 jioni.