Wachezaji wawili Shomari Kapombe na Jimmyson Mwanuke ndio pekee ambao hawakushiriki mazoezi hayo kutokana na kuwa majeruhi lakini wengine wote wameshiriki.
Morali ya wachezaji ipo juu na kila moja amejitajidi kujituma mazoezini ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi kesho.
Advertisement
Tunazihitaji alama tatu za kesho ili kuendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo na kuwafurahisha mashabiki wetu.