Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

22 Oct 2022

Wachezaji wawili Shomari Kapombe na Jimmyson Mwanuke ndio pekee ambao hawakushiriki mazoezi hayo kutokana na kuwa majeruhi lakini wengine wote wameshiriki.

Morali ya wachezaji ipo juu na kila moja amejitajidi kujituma mazoezini ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi kesho.

Advertisement

Tunazihitaji alama tatu za kesho ili kuendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo na kuwafurahisha mashabiki wetu.

Back to homepage
Share this story