Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

5 Nov 2024

Katika mazoezi hayo ambayo yameongozwa na Kocha Mkuu Fadlu Davids hakuna mchezaji aliyepata maumivu ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Tunajua utakuwa mchezo mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata ushindi katika Uwanja wa nyumbani.

Advertisement
Back to homepage
Share this story