Wachezaji wote wameshiriki kikamilifu mazoezi hayo na hakuna ambaye amepata majeraha yoyote.
Baada ya mazoezi hayo usiku wa kuamkia kesho kikosi kitaanza safari ya kuelekea nchini Ivory Coast tayari kwa mchezo huo.
Advertisement
Tumeupa umuhimu mkubwa mchezo huo kwakuwa tunaamini tukipata matokeo chanya tutakuwa tumejiweka kwenye nafasi nzuri ya kusonga kwenye hatua ya robo fainali.