Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

2 Apr 2024

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na hakuna aliyepata maumivu ambayo yatamfanya kuenguliwa kwenye kikosi kitakachosafiri kesho.

Tunatarajia kuondoka na wachezaji 23 ambao tunaamini wataweza kufanya kazi kubwa ya kuisaidia timu kufuzu nusu fainali.

Advertisement

Msafara wetu utakuwa na takribani watu 50 hadi 60 ambao utaondoka na Ndege ya Shirika la Ndege la Misri ambapo itasafiri moja kwa moja hadi Cairo.

Back to homepage
Share this story