Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mkwakwani

2 Dec 2022

Wachezaji wote 22 ambao tumesafiri nao wameshiriki mazoezi hayo na wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mchezo wa kesho.

Tunafahamu mchezo utakuwa mgumu na tunaiheshimu Coastal lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda na kuondoka na alama zote tatu.

Advertisement

Kwa sasa kila mchezo kwetu ni fainali hatupo tayari kupoteza alama kwakuwa lengo letu ni kurejesha taji letu la ligi.

Back to homepage
Share this story