Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mkwakwani

8 Mar 2024

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na hakuna ambaye amepata maumivu ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Tunauchukulia mchezo wa kesho kwa umuhimu mkubwa na lengo letu ni kuhakikisha tunashinda na kuchukua pointi zote tatu.

Advertisement

Coastal ni timu bora na ipo kwenye kiwango kizuri kwa sasa lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda.

Back to homepage
Share this story