Kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo na leo asubuhi kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mbweni Veterani kujiandaa na mchezo huo.
Tunawaheshimu Baobab na tunajua utakuwa mchezo mgumu kini tumejipanga kuhakikisha tunashinda na kuchukua alama zote tatu.