Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Levy Mwanawasa

15 Sep 2023

Kwa mujibu wa kanuni ya Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) timu mgeni anatakiwa kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi ili kuzoea hali ya uwanja.

Wachezaji wote 24 ambao tumesafiri nao wameshiriki mazoezi hayo na hakuna aliyepata maumivu yoyote ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Advertisement

Tutaingia kwenye mchezo wa kesho kwa kuwaheshimu Power Dynamos lakini tumejiandaa kuhakikisha tunashinda.

Back to homepage
Share this story