Wachezaji wote tuliosafiri nao wamefanya mazoezi ya mwisho na wapo tayari kwa mchezo wa kesho.
Katika mazoezi hayo ambayo yameongozwa na Kocha Mkuu Fadlu Davids hakuna mchezaji aliyepata maumivu ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.
Advertisement
Tunajua utakuwa mchezo mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata ushindi katika Uwanja wa ugenini.