Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Mtibwa

16 Aug 2023

Morali za wachezaji zipo juu na wapo tayari kuhakikisha tunapambana kuhakikisha tunaanza kwa kupata alama tatu nyumbani.

Mchezo wa kesho ni wa kwanza wa msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2023/24 na malengo yetu ni kuanza kwa ushindi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story