Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Coastal

27 Jan 2023

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na wapo kwenye hali nzuri kuhakikisha timu inapata matokeo ya ushindi kwenye mchezo huo.

Hata hivyo tutaingia kwenye mchezo wa kesho tukifahamu utakuwa mgumu na tunawaheshimu Coastal lakini lengo letu ni ushindi pekee.

Advertisement

Taji la ASFC ni moja ya malengo tuliyojiwekea msimu huu hivyo kila mchezo kwetu ni fainali mpaka tutakapo fanikiwa.

Back to homepage
Share this story