Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Azam

12 Jan 2022

Wachezaji wote wako kwenye hali nzuri na hakuna atakayekosekana kwa sababu ya majeraha au adhabu ya kadi.

Malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda mchezo wa fainali na kutwaa taji ambalo tumelikosa kwa muda mrefu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story