Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na APR

4 Jan 2024

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na hakuna aliyepata maumivu ambayo yanaweza kumfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Morali za wachezaji zipo juu na tutaingia kwenye mchezo wa kesho tukiwa na lengo la kuibuka na ushindi ili kumaliza hatua ya makundi bila kudondosha pointi.

Advertisement

Mchezo wetu dhidi ya APR utapigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex saa 2:15 usiku.

Back to homepage
Share this story