Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kuivutia kasi Orlando

23 Apr 2022

Tutaingia katika mchezo wa kesho tukiwa na faida ya bao moja tulilopata katika mchezo wa kwanza hivyo sare ya aina yoyote itatufanya kutinga nusu fainali.

Advertisement
Back to homepage
Share this story