Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho KMC Complex.

17 Aug 2024

Wachezaji wote wameshiriki kikamilifu mazoezi hayo na wapo tayari kwa mchezo wa kesho ambao tunahitaji alama tatu muhimu.

Mapema mchana wa leo katika Mkutano na Waandishi wa Habari Kocha Mkuu Fadlu Davids ameweka wazi kuwa malengo ya timu ni kuhakikisha tunashinda kila mchezo.

Advertisement

Tunafahamu utakuwa mchezo mgumu kutokana na ubora wa Tabora lakini tumejiandaa vizuri kuwakabili.

Back to homepage
Share this story