Mazoezi ya jioni yamefanyika katika Uwanja wa KMC Complex ambao utatumika katika mchezo wa kesho pia.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho ambao ni sehemu ya maandalizi kuelekea mechi yetu ya hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya.
Advertisement
Mchezo dhidi ya Tripoli utapigwa Septemba 15 nchini Libya.