Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kirumba

21 May 2022

Wachezaji wote waliosafiri wamefanya mazoezi na jambo jema ni kwamba hakuna aliyeumia hivyo watakuwa tayari kwa mchezo wa kesho.

Morali ya wachezaji ipo juu na tutaingia katika mchezo tukiwa na lengo moja la kutafuta alama tatu muhimu ugenini.

Advertisement

Tunajua mchezo utakuwa mgumu na tunawaheshimu Geita kutokana na ubora walio nao lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata ushindi.

Back to homepage
Share this story