Wachezaji wote 24 wameshiriki mazoezi hayo na jambo la kushukuru hakuna yeyote ambaye amepata maumivu yatakayomfanya kukosa mchezo huo.
Tutaingia katika mchezo wa kesho tukiwaheshimu Geita lakini tumejiandaa kuhakikisha tunavuna alama zote tatu ugenini.