Simba Sports Club
News

TIMU YAFANYA MAZOEZI YA MWISHO KIRUMBA

25 Dec 2022

Wachezaji wote isipokuwa Moses Phiri wamefanya mazoezi na wapo tayari kwa mchezo huo muhimu ambao pointi tatu ndiyo kitu pekee tunachohitaji.

Tutaingia katika mchezo wa kesho kwa tahadhari na kuiheshimu KMC kwa kuwa tunahitaji kupata alama tatu.

Advertisement

Tunafahamu mchezo utakuwa mgumu na KMC wataingia uwanjani kwa kuhitaji alama tatu lakini tupo tayari kupambana na kuwakabili.

Back to homepage
Share this story