Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kaitaba

20 Dec 2022

Kikosi kimefanya mazoezi kuanzia saa moja usiku kwa kuwa mchezo wetu huo utapigwa muda huo hapa hapa Kaitaba.

Wachezaji wote 24 wameshiriki mazoezi hayo na hakuna ambaye amepata majeraha yatakayomfanya kukosa mchezo wa kesho.

Advertisement

Tunafahamu mchezo utakuwa mgumu na tunaiheshimu Kagera lakini tutapambana kuhakikisha tunapata alama zote tatu.

Back to homepage
Share this story