Kikosi kimefanya mazoezi kuanzia saa moja usiku kwa kuwa mchezo wetu huo utapigwa muda huo hapa hapa Kaitaba.
Wachezaji wote 24 wameshiriki mazoezi hayo na hakuna ambaye amepata majeraha yatakayomfanya kukosa mchezo wa kesho.
Advertisement
Tunafahamu mchezo utakuwa mgumu na tunaiheshimu Kagera lakini tutapambana kuhakikisha tunapata alama zote tatu.