Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kaitaba

11 May 2024

Wachezaji wote 21 tuliosafiri nao wameshiriki mazoezi hayo na hakuna yoyote ambaye amepata maumivu ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Tunafahamu utakuwa mchezo mgumu kutokana na ubora wa Kagera hasa wanapokuwa Kaitaba lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda.

Advertisement
Back to homepage
Share this story