Wachezaji wote 21 tuliosafiri nao wameshiriki mazoezi hayo na hakuna yoyote ambaye amepata maumivu ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.
Tunafahamu utakuwa mchezo mgumu kutokana na ubora wa Kagera hasa wanapokuwa Kaitaba lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda.