Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kaitaba

20 Dec 2024

Tunategemea utakuwa mchezo mgumu kutokana na ubora walionao wapinzani wetu Kagera Sugar hasa ukizingatia wapo nyumbani.

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na hakuna aliyepata maumivu au majeraha ambayo yatamfanya kuukosa mchezo wa kesho.

Advertisement

Malengo yetu kwa sasa ni kuhakikisha tunashinda kila mchezo ili kuweza kutwaa taji la ubingwa msimu huu.

Back to homepage
Share this story