Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Kotoko kesho

27 Aug 2022

Kikosi kimewasili hapa Khatoum jana mchana na jioni kilifanya mazoezi ya utimamu wa mwili kutokana na uchovu wa safari.

Wachezaji wote tuliosafiri nao wapo kwenye hali nzuri na hakuna ambaye tutamkosa kutokana na majeruhi.

Advertisement

Mchezo wetu wa kesho utapigwa katika Uwanja wa Al Hilal saa moja usiku ambapo kwa saa za nyumbani itakuwa saa mbili.

Back to homepage
Share this story