Kikosi kimewasili hapa Khatoum jana mchana na jioni kilifanya mazoezi ya utimamu wa mwili kutokana na uchovu wa safari.
Wachezaji wote tuliosafiri nao wapo kwenye hali nzuri na hakuna ambaye tutamkosa kutokana na majeruhi.
Advertisement
Mchezo wetu wa kesho utapigwa katika Uwanja wa Al Hilal saa moja usiku ambapo kwa saa za nyumbani itakuwa saa mbili.