Mchezo wetu dhidi ya Dodoma utapigwa Ijumaa katika Uwanja wa Jamhuri saa 10 jioni.
Kikosi kitaondoka kesho asubuhi kikiwa na wachezaji 20 benchi la ufundi na baadhi ya viongozi tayari kwa mchezo huo.
Advertisement
Malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda kila mchezo wetu ili kujihakikishia kumaliza katika nafasi mbili za juu