Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo isipokuwa Peter Banda na Shomari Kapombe ambao ni majeruhi ingawa hali zao zinazidi kutengamaa siku hadi siku.
Kikosi kitaondoka kesho saa 10 Alfajiri kikiwa na wachezaji 24 benchi la ufundi pamoja na baadhi ya viongozi.
Advertisement
Mchezo wetu dhidi ya De Agosto utachezwa katika Uwanja wa Novemba 11, Jumapili saa 12 jioni kwa saa za nyumabani.