Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi ya mwisho

22 Feb 2024

Wachezaji wote 22 tuliosafiri nao wameshiriki kikamilifu mazoezi hayo na wapo tayari kwa mchezo.

Kufanya mazoezi katika Uwanja huu ni sehemu ya matakwa ya kikanuni ambayo kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ambalo linataka timu mgeni kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa mchezo siku moja kabla.

Advertisement

Tunafahamu utakuwa mchezo mgumu kutokana na ubora wa wapinzani lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata matokeo ya ushindi.

Back to homepage
Share this story