Barker ameongoza mazoezi hayo ya uwanjani kufuatia jana wachezaji kuanza mazoezi ya Gym ambayo yalisimamiwa na kocha msaidizi, Seleman Matola.
Mazoezi yataendelea tena kesho kabla ya timu kuelekea Zanzibar tayari kwa kuanza michuano ya Mapinduzi.
Barker ameongoza mazoezi hayo ya uwanjani kufuatia jana wachezaji kuanza mazoezi ya Gym ambayo yalisimamiwa na kocha msaidizi, Seleman Matola.
Mazoezi yataendelea tena kesho kabla ya timu kuelekea Zanzibar tayari kwa kuanza michuano ya Mapinduzi.